MPYA YA JAY MO IME LEAK
Ngoma ya kwanza kutoka Bongo Records mwaka 2012, inayotarajiwa kutoka mwishoni mwa wiki hii inayoitwa U CAN NEVER B ME ndani yake akiwemo Jay Mo, Mimms kutoka Marekani Immu Cabir kutoka Mozambique na Avid kutoka bongo, imeleak kitaani.Baada ya kumvutia waya P funk alikua na haya kusema
Producer Antonio wa Bongo Rec ndie anaelalamikiwa kuitoa ngoma hiyo bila makubaliano na P
No comments:
Post a Comment