Thursday, January 26, 2012

KAMA ALIVYOKUJA NIPA JAN PASSEH JUZI AKIWA MASOMOINI!

MPYA YA JAY MO IME LEAK


Ngoma ya kwanza kutoka Bongo Records mwaka 2012, inayotarajiwa kutoka mwishoni mwa wiki hii inayoitwa U CAN NEVER B ME ndani yake akiwemo Jay Mo, Mimms kutoka Marekani Immu Cabir kutoka Mozambique na Avid kutoka bongo, imeleak kitaani.Baada ya kumvutia waya P funk alikua na haya kusema





Producer Antonio wa Bongo Rec ndie anaelalamikiwa kuitoa ngoma hiyo bila makubaliano na P

No comments:

Post a Comment